Vijana wajihusisha na upanzi wa miti maeneo karibu na mito huko Voi

Posted on 07/18/2025
|

Kufuatia mabadiliko ya tabianchi ambayo yanakumba sehemu tofauti hapa nchini, baadhi ya vijana mjini Voi kaunti ya Taita Taveta wamekumbatia shughuli ya upanzi wa miti