Wakulima kote nchini wamehimizwa kuchangamkia kilimo cha soya ili kukabili uhaba mkubwa wa zao hilo, ambao kwa sasa unasababisha Kenya kutegemea uagizaji kutoka mataifa jirani kama Uganda na Zambia
Wakulima Busia wahimizwa kuchangamkia kilimo cha soya
Posted on 07/18/2025
|