Tume ya kitaifa ya kutetea haki za binadamu KNCHR imetaja viwango vya juu vya kutojua kusoma na kuandika katika kaunti za Kaskazini Mashariki kama kizingiti kikuu cha wenyeji kufahamu haki zao
kutojua kusoma na kuandika kumewaponza watu wengi kaunti ya Kaskazini Mashariki
Posted on 07/18/2025
|